Mathayo 11:25 BHN

25 Wakati huo Yesu alisema, “Nakushukuru ee Baba, Bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima na wenye elimu mambo haya, ukawafunulia wadogo.

Kusoma sura kamili Mathayo 11

Mtazamo Mathayo 11:25 katika mazingira