Waroma 15:3 BHN

3 Maana Kristo hakujipendelea mwenyewe; ila alikuwa kama yasemavyo Maandiko: “Kashfa zote walizokutolea wewe zimenipata mimi.”

Kusoma sura kamili Waroma 15

Mtazamo Waroma 15:3 katika mazingira