1 Mambo Ya Nyakati 3:19 BHN

19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Zerubabeli alikuwa na wana wawili: Meshulamu na Hanania, na binti mmoja, jina lake Shelomithi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 3:19 katika mazingira