1 Wakati mfalme Yehoshafati wa Yuda alipokuwa amekwisha kuwa mtu tajiri na mwenye heshima, alifanya mpango wa ndoa baina ya jamaa yake, na jamaa ya mfalme Ahabu wa Israeli.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 18
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 18:1 katika mazingira