2 Samueli 11:4 BHN

4 Basi, Daudi alituma wajumbe wamlete. Basi Bathsheba akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye; (mwanamke huyo alikuwa ndio tu amejitakasa baada ya hedhi yake); kisha akarudi nyumbani kwake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 11

Mtazamo 2 Samueli 11:4 katika mazingira