Kutoka 15:19 BHN

19 Wakati farasi wa Farao na magari yake pamoja na wapandafarasi wake walipoingia mahali pakavu baharini, Mwenyezi-Mungu aliyarudisha maji ya bahari yakawafunika. Lakini Waisraeli waliendelea kutembea pakavu katikati ya bahari.

Kusoma sura kamili Kutoka 15

Mtazamo Kutoka 15:19 katika mazingira