Kutoka 28:4 BHN

4 Waambie wamtengenezee vitu vifuatavyo: Kifuko cha kifuani, kizibao, kanzu, joho iliyonakshiwa, kilemba na mshipi. Aroni nduguyo na wanawe watayavaa ili wanitumikie kama makuhani.

Kusoma sura kamili Kutoka 28

Mtazamo Kutoka 28:4 katika mazingira