35 Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka magunia yao, walishangaa kuona kila mmoja wao amerudishiwa kifuko chake na fedha ndani ya gunia lake. Walipoona hayo, wote pamoja na baba yao, wakashikwa na hofu.
Kusoma sura kamili Mwanzo 42
Mtazamo Mwanzo 42:35 katika mazingira