14 Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi;
15 na Zebadia, na Aradi, na Ederi;
16 na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.
17 Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;
18 na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.
19 Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
20 na Elienai, na Silethai, na Elieli;