20 Jua lako halitashuka tena,Wala mwezi wako hautajitenga;Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele;Na siku za kuomboleza kwako zitakoma.
Kusoma sura kamili Isa. 60
Mtazamo Isa. 60:20 katika mazingira