Kut. 18:14 SUV

14 Mkwewe Musa alipoyaona yote aliyowafanyia watu, akasema, Ni jambo gani hili uwatendealo hao watu? Kwani wewe kuketi hapo peke yako, na watu wote kusimama kwako tangu asubuhi hata jioni?

Kusoma sura kamili Kut. 18

Mtazamo Kut. 18:14 katika mazingira