Yer. 21:9 SUV

9 Yeye atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; bali yeye atakayetoka, na kujitia pamoja na Wakaldayo wanaowahusuru, yeye ataishi, na maisha yake yatakuwa nyara kwake.

Kusoma sura kamili Yer. 21

Mtazamo Yer. 21:9 katika mazingira