16 BWANA asema hivi,Zuia sauti yako, usilie,na macho yako yasitoke machozi;Maana kazi yako itapata thawabu,nao watakuja tena toka nchi ya adui;Ndivyo asemavyo BWANA.
Kusoma sura kamili Yer. 31
Mtazamo Yer. 31:16 katika mazingira