Yer. 31:20 SUV

20 Je! Efraimu siye mwanangu mpendwa? Je! Siye mtoto apendezaye? Maana kila nisemapo neno juu yake, ningali nikimkumbuka sana; kwa sababu hiyo moyo wangu unataabika kwa ajili yake; bila shaka nitamrehemu, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 31

Mtazamo Yer. 31:20 katika mazingira