Yer. 6:16 SUV

16 BWANA asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, I wapi njia iliyo njema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katika nafsi zenu. Lakini walisema, Hatutaki kwenda katika njia hiyo.

Kusoma sura kamili Yer. 6

Mtazamo Yer. 6:16 katika mazingira