Zek. 11:6 SUV

6 Maana mimi sitawahurumia tena wenyeji wa nchi hii, asema BWANA; bali, tazama, nitawatia, kila mmoja wao, mikononi mwa mwenzake, na mikononi mwa mfalme; nao wataipiga hiyo nchi, wala mimi sitawaokoa mikononi mwao.

Kusoma sura kamili Zek. 11

Mtazamo Zek. 11:6 katika mazingira