1 Wakorintho 1:17 BHN

17 Kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri Habari Njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu, kusudi nguvu ya kifo cha Kristo msalabani isibatilishwe.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 1

Mtazamo 1 Wakorintho 1:17 katika mazingira