1 Wakorintho 1:21 BHN

21 Maana, kadiri ya hekima ya Mungu, watu hawawezi kumjua Mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. Badala yake, Mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 1

Mtazamo 1 Wakorintho 1:21 katika mazingira