1 Wakorintho 1:28 BHN

28 Mungu ameyachagua yale ambayo kwa fikira za dunia ni mambo yaliyo duni na yanayodharauliwa, mambo ambayo hata hayakuwako, ili kwa hayo ayafutilie mbali yale ambayo kwa fikira za binadamu ni mambo ya maana.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 1

Mtazamo 1 Wakorintho 1:28 katika mazingira