1 Wakorintho 1:30 BHN

30 Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha nyinyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 1

Mtazamo 1 Wakorintho 1:30 katika mazingira