1 Wakorintho 11:12 BHN

12 Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 11

Mtazamo 1 Wakorintho 11:12 katika mazingira