1 Wakorintho 12:3 BHN

3 Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: “Yesu alaaniwe!” Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: “Yesu ni Bwana,” asipoongozwa na Roho Mtakatifu.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 12

Mtazamo 1 Wakorintho 12:3 katika mazingira