16 Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: “Amina”, kama haelewi unachosema?
Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 14
Mtazamo 1 Wakorintho 14:16 katika mazingira