1 Wakorintho 14:19 BHN

19 Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 14

Mtazamo 1 Wakorintho 14:19 katika mazingira