1 Wakorintho 14:23 BHN

23 Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba nyinyi mna wazimu?

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 14

Mtazamo 1 Wakorintho 14:23 katika mazingira