1 Wakorintho 15:15 BHN

15 Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka kwa wafu na kumbe yeye hakumfufua – kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15

Mtazamo 1 Wakorintho 15:15 katika mazingira