1 Wakorintho 15:45 BHN

45 Maana Maandiko yasema: “Mtu wa kwanza, Adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;” lakini Adamu wa mwisho ni Roho awapaye watu uhai.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15

Mtazamo 1 Wakorintho 15:45 katika mazingira