1 Wakorintho 6:13 BHN

13 Unaweza kusema: “Chakula ni kwa ajili ya tumbo, na tumbo ni kwa ajili ya chakula.” Sawa; lakini Mungu ataviharibu vyote viwili. Mwili wa mtu si kwa ajili ya uzinzi bali ni kwa ajili ya kumtumikia Bwana, naye Bwana ni kwa ajili ya mwili.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 6

Mtazamo 1 Wakorintho 6:13 katika mazingira