1 Wathesalonike 5:13 BHN

13 Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 5

Mtazamo 1 Wathesalonike 5:13 katika mazingira