1 Yohane 2:1 BHN

1 Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 2

Mtazamo 1 Yohane 2:1 katika mazingira