1 Yohane 2:16 BHN

16 Vitu vyote vya ulimwengu – tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona watu na kuvitamani, majivuno yasababishwayo na mali – vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 2

Mtazamo 1 Yohane 2:16 katika mazingira