1 Yohane 2:19 BHN

19 Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana walituacha; kama wangalikuwa wa kwetu, wangalibaki nasi. Lakini waliondoka, wakaenda zao, kusudi ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 2

Mtazamo 1 Yohane 2:19 katika mazingira