1 Yohane 4:20 BHN

20 Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 4

Mtazamo 1 Yohane 4:20 katika mazingira