14 Basi, wakumbushe watu wako mambo haya na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia.
Kusoma sura kamili 2 Timotheo 2
Mtazamo 2 Timotheo 2:14 katika mazingira