2 Wathesalonike 3:14 BHN

14 Huenda kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni katika barua hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano wowote naye, kusudi aone aibu.

Kusoma sura kamili 2 Wathesalonike 3

Mtazamo 2 Wathesalonike 3:14 katika mazingira