Marko 12:41 BHN

41 Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi.

Kusoma sura kamili Marko 12

Mtazamo Marko 12:41 katika mazingira