Marko 15:36 BHN

36 Mtu mmoja akakimbia, akaichovya sifongo katika siki, akaiweka juu ya mwanzi, akampa anywe akisema, “Hebu tuone kama Elia atakuja kumteremsha msalabani!”

Kusoma sura kamili Marko 15

Mtazamo Marko 15:36 katika mazingira