Marko 2:14 BHN

14 Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, “Nifuate!” Lawi akasimama, akamfuata.

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:14 katika mazingira