Marko 4:15 BHN

15 Watu wengine ni kama walio njiani ambapo neno lilipandwa. Lakini mara tu baada ya kulisikia, Shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.

Kusoma sura kamili Marko 4

Mtazamo Marko 4:15 katika mazingira