Marko 8:6 BHN

6 Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.

Kusoma sura kamili Marko 8

Mtazamo Marko 8:6 katika mazingira