Marko 9:31 BHN

31 kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa atafufuka.”

Kusoma sura kamili Marko 9

Mtazamo Marko 9:31 katika mazingira