Matendo 13:17 BHN

17 Mungu wa watu hawa wa Israeli aliwachagua babu zetu; aliwafanya watu hawa wawe taifa kubwa walipokuwa ugenini kule Misri. Mungu aliwatoa huko kwa uwezo wake mkuu.

Kusoma sura kamili Matendo 13

Mtazamo Matendo 13:17 katika mazingira