Matendo 24:12 BHN

12 Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu hekaluni, wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:12 katika mazingira