Matendo 24:14 BHN

14 Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu wa wazee wetu nikiishi kufuatana na njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya sheria na manabii.

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:14 katika mazingira