Matendo 24:25 BHN

25 Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, “Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi.”

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:25 katika mazingira