Matendo 24:5 BHN

5 Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:5 katika mazingira