Matendo 26:11 BHN

11 Mara nyingi niliwafanya waadhibiwe katika masunagogi yote nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya mbali.

Kusoma sura kamili Matendo 26

Mtazamo Matendo 26:11 katika mazingira