Matendo 26:14 BHN

14 Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: ‘Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama ng'ombe anayepiga teke fimbo ya bwana wake.’

Kusoma sura kamili Matendo 26

Mtazamo Matendo 26:14 katika mazingira