Matendo 4:21 BHN

21 Basi, hao wazee wa Baraza wakawaonya kwa ukali zaidi, halafu wakawaacha huru. Hawakuweza kuwapa adhabu kwa sababu watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa sababu ya tukio hilo.

Kusoma sura kamili Matendo 4

Mtazamo Matendo 4:21 katika mazingira