Matendo 5:28 BHN

28 “Tuliwakatazeni waziwazi kufundisha kwa jina la mtu huyu; sasa mmeyaeneza mafundisho yenu pote katika Yerusalemu na mnakusudia kutuwekea lawama ya kifo cha mtu huyo.”

Kusoma sura kamili Matendo 5

Mtazamo Matendo 5:28 katika mazingira